
Director of Engineering, Construcrion and Consultancy (DECC)
Meja Kohe John Kohe

Managing Director (MD)
Eng. ML. Nyonyi
Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe. Palamagamba Kabudi, ameridhishwa na kazi inayofanywa na Kampuni ya SUMAJKT Construction Company Ltd, katika ujenzi wa viwanja vya mazoezi kwa ajili michuano ya Mataifa ya Afrika kwa wachezaji wa Nadani (CHAN) yatakayofanyika mwezi Februari mwaka 2025.
Mkuu wa JKT na Afisa Mtendaji Mkuu wa SUMAJKT Meja Jenerali Rajabu Mabele, kwa niaba JWTZ ameeleza kwamba JKT limekabidhiwa kazi hivyo litaitekeleza kazi hiyo kwa muda uliopangwa.
Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Uzalishaji Mali la Jeshi la Kujenga Taifa (SUMAJKT) Brigedia Jenerali Katika ziara hiyo Profesa Kabudi, ameongozana na Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe. Metheusela Ntoda, Mkuu wa JKT Meja Jenerali Rajabu Mabele, Mkurugenzi Mtendaji wa SUMAJKT Brigedia Jenerali Petro Ngata, Rais TFF Rais Wallace Karia, Mjumbe wa Kamati ya Miundombinu - CHAN Salum Madadi, Mkurugenzi Mwendeshaji wa Kampuni ya Ujenzi SUMAJKT Construction Company Ltd, Mhandisi Morgan Nyonyi, ambapo walitembelea Kiwanja cha Meja Jenerali Isamuhyo Mbweni, Shule ya Sheria Tanzania na Gymkhana Football Club.
Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Uzalishaji Mali la Jeshi la Kujenga Taifa (SUMAJKT) Brigedia Jenerali Petro Ngata, leo tarehe 14 Novemba 2024 amekagua maandalizi ya ujenzi wa viwanja vya mpira wa miguu Gymkhana Dar es Salaam kwa ajili ya michuano ya Kombe la Mataifa Afrika (AFCON) itakayofanyika mwaka 2027, ameongozana na Mkurugenzi Mwendeshaji wa Kampuni ya Ujenzi SUMAJKT Mhandisi Morgan Nyonyi (Kulia kwake) pamoja na Mjumbe wa Kamati ya Miundombinu Shirikisho la Mataifa Afrika kwa wachezaji wa Ndani (CHAN) Salum Madadi (kushoto).
Ujenzi wa hosteli za Kisasa kwa ajili ya wanafunzi wa Chuo Kikuu cha Mzumbe kilichopo Mkoani Morogoro
Ujenzi wa Madarasa ya Chuo Kikuu Cha Sokoine (SUA) kupitia Kampuni ya Ujenzi SUMAJKT kanda ya Mashariki.
Ujenzi wa Madarasa ya Chuo Kikuu Cha Sokoine (SUA) kupitia Kampuni ya Ujenzi SUMAJKT kanda ya Mashariki.
Ujenzi wa Chuo cha Ulinzi wa Taifa (NDC) ambao Uliyofanyika chini ya Kampuni ya Ujenzi ya SUMAJKT (SUMAJKT Construction Company Limited)
Ujenzi wa Chuo cha Ulinzi wa Taifa (NDC) ambao Uliyofanyika chini ya Kampuni ya Ujenzi ya SUMAJKT (SUMAJKT Construction Company Limited)
Jengo la Wizara ya Kilimo Jikini Dodoma linalojengwa kupitia Kampuni ya Ujenzi ya SUMAJKT (SUMAJKT Construction Company Limited) Kanda ya Kati
Ujenzi wa Jengo la TGFA (Tanzania Government Flight Agency ) Uliyofanyika chini ya Kampuni ya Ujenzi ya SUMAJKT (SUMAJKT Construction Company Limited)
Ujenzi wa Jengo la TGFA (Tanzania Government Flight Agency ) Uliyofanyika chini ya Kampuni ya Ujenzi ya SUMAJKT (SUMAJKT Construction Company Limited)
Ujenzi wa Madarasa ya Chuo Kikuu cha Mzumbe, Uliyofanyika chini ya Kampuni ya Ujenzi ya SUMAJKT (SUMAJKT Construction Company Limited)
Welcome SUMAJKT Construction Company Ltd (SUMAJKT CCL)
SUMAJKT Construction Company Limited (SUMAJKT CCL) is a Public Limited company registered in 2018 under the Laws of United Republic of Tanzania with Certificate number 138235653. SUMAJKT CCL is licenced by the contractors Registration Board (CRB) as:
• Building Contractor - Class I
• Civil Contractor - Class I
• Mechanical Contractor - Class Ill
Our Vision
We aim to be the most trusted and reliable public construction company for the rapid growth of Tanzania’s Public Infrastructures.
Our Mission
We focus on the provision of services and construction products that best serve standards and current needs by using desired technology.
Core Values
To fully attain our Vision and mission, we embrace the most core values of:
- Professionalism
- Integrity
- Transparency
- Accountability
- Team work
CONTRACTOR REGISTRATION ACTIVITIES
Our Latest Projects
Kalambo District Administration Block
Sokoine University of Agriculture (SUA)
See All Projects
Events


Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe. Palamagamba Kabudi, ameridhishwa na kazi inayofanywa na Kampuni ya SUMAJKT Construction Company Ltd, katika ujenzi wa viwanja vya mazoezi kwa ajili michuano ya Mataifa ya Afrika kwa wachezaji wa Nadani (CHAN) yatakayofanyika mwezi Februari mwaka 2025.
Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe. Palamagamba Kabudi, ameridhishwa na kazi inayofanywa na Kampuni ya SUMAJKT Construction Company Ltd, katika ujenzi wa viwanja vya mazoezi kwa ajili michuano ya Mataifa ya Afrika kwa wachezaji wa Nadani (CHAN) yatakayofanyika mwezi Februari mwaka 2025.
Katika Ukaguzi huo Profesa Kabudi, amefafanua kwamba viwanja hivyo vitakamilika ifikapo tarehe 21 Januari 205 kwa ajili kuanza kutumika kwa ajili mazoezi michuano ya CHAN.
Nae Mkuu wa JKT na Afisa Mtendaji Mkuu wa SUMAJKT Meja Jenerali Rajabu Mabele, kwa niaba JWTZ ameeleza kwamba JKT limekabidhiwa kazi hivyo litaitekeleza kazi hiyo kwa muda uliopangwa.
Katika ziara hiyo Profesa Kabudi, ameongozana na Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe. Metheusela Ntoda, Mkuu wa JKT Meja Jenerali Rajabu Mabele, Mkurugenzi Mtendaji wa SUMAJKT Brigedia Jenerali Petro Ngata, Rais TFF Rais Wallace Karia, Mjumbe wa Kamati ya Miundombinu - CHAN Salum Madadi, Mkurugenzi Mwendeshaji wa Kampuni ya Ujenzi SUMAJKT Construction Company Ltd, Mhandisi Morgan Nyonyi, ambapo walitembelea Kiwanja cha Meja Jenerali Isamuhyo Mbweni, Shule ya Sheria Tanzania na Gymkhana Football Club.
Read More
SUMAJKT Construction Zones & Ofices Location
SUMAJKT Construction Co. Ltd has ten (10) construction Zone Offices that operates all over the country